- Wafugaji wamwambia Kinana wamekaa vikao 17 na viongozi wakubwa wa kitaifa lakini hakuna utatuzi.
Mwenyekiti wa chama wa Wafugaji Kanda ya Ziwa Ndugu Juvinale Murashani akizungumza kwenye kikao cha wafugaji na Katibu Mkuu ambapo alimuelezea matatizo mbali mbali yanayowakabili wafugaji hasa mgogoro wao na hifadhi ya Kimisi.
Mkuu wa Wilaya ya Ngara Ndugu Costantine Kanyasu akielezea namna anavyouelewa mgogoro wa wafugaji na ushari alioutoa kwa watu wa hifadhi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wafugaji kwenye kikao kilichofanyika Nyakanazi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchama wa chama cha wafugaji kanda ya ziwa waliojitokeza kwa wingi kueleza mgogoro wao na hifadhi ya Kimisi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa kupelekwa eneo ambalo limekuwa na uharibifu sana wa mazingira pamoja na mifugo inayokamatwa kuwekwa hapo.
Wafugaji wakimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana sehemu ambayo mifugo huzuiwa baada ya kukamatwa na watu wa hifadhi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwa kukimbia kwenye kilima ambacho mifugo huzuiwa na watu wa hifadhi
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimu wakazi wa Chamilwa njia panda ya Chato ambao walijitokeza kumsalimu Katibu Mkuu na msafara wake ambao wamewasili na basi kutokea Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi wa Chamilwa njia panda ya Chato waliojitokeza kumsalimu











0 comments:
Chapisha Maoni