.

.

Tisho kwa kilimo cha Mwani Zanziba

Tisho kwa kilimo cha Mwani Zanzibar

Ukulima wa mwani umekuwa na umuhimu mkubwa katika kuinua uchumi wa Zanzibar, lakini hivi sasa zao hili linaonekana kuwa hatarini kupotea.
Ajira za watu elfu ishirini na tatu, wengi wao wanawake, ziko hatarini. Jitihada za kufahamu nini hasa sababu kuu ya kupotea kwa zao hilo, baadhi ya wataalam wanasema mabadiliko ya tabia nchi huenda ndio chanzo.
Mwandishi wa BBC Aboubakar Famau alitembelea Zanzibar
Share on Google Plus

About Dira Ya Maisha

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Chapisha Maoni